Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 13:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 hustahimili yote, huamini yote, hutumaini yote, huvumilia yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Mwenye upendo huvumilia yote, huamini yote, na hustahimili yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 13:7
29 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtakuwa mkichukiwa na watu wole kwa ajili ya jina langu: lakini adumuye hatta mwisho, ndiye atakaeokoka.


Yesu akamwambia, Ukiweza kuamini: yote yawezekana kwake aaminiye.


BASSI imetupasa sisi tulio na nguvu kuuchukua udhaifu wao wasio na nguvu, wala haitupasi kujipendeza nafsi zetu.


Kwa maana tuliokolewa kwa kutumaini; lakini kitu kilichotumainiwa kikionekana hakuna kutumaini tena. Kwa maana kile akionacho mtu, ya nini kukitumaini?


Upendo husubiri, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni,


Ikiwa wengine wanashiriki uwezo huu juu yenu, sisi si zaidi? Lakini hatukuutumia uwezo huu; bali twayavumilia mambo yote tusije tukaizuia Injili ya Kristo.


Mchukuliane mizigo mkaitimize hivyo sharia ya Kristo.


Hatta sisi wenyewe twajisifu katika makanisa ya Mungu kwa ajili ya uvumilivu wenu, na imani mliyo nayo katika adha zenu zote na mateso mnayoyavumilia;


Tena haimpasi mtumwa wa Bwana kuwa mgomvi, bali kuwa mwanana kwa watu wote, awezae kufundisha, mvumilivu,


tena adha zangu na mateso yaliyonipata katika Antiokia, katika Ikonio, na katika Lustra; killa namna ya adha niliyoistahimili: nae Bwana akaniokoa katika yote.


Bali wewe erevuka katika yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mwinjilisti, timiliza khuduma yako.


Bassi na twende kwake nje ya kituo, tukichukua laumu lake.


Yu kheri astahimiliye majaribu; kwa sababu akipata kibali ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.


yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, illi, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe bayi kwa mambo ya haki; kwa kuchubuka kwake mliponywa.


zaidi ya yote mwe na juhudi nyingi katika kupendana; kwa sababu upendano husetiri wingi wa dhambi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo