Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 12:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 mwingine imani katika Roho yule yule; na mwingine karama za kuponya katika Roho yule mmoja;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mtu mwingine imani kwa huyo Roho na mwingine karama za kuponya kwa huyo Roho mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mtu mwingine imani kwa huyo Roho na mwingine karama za kuponya kwa huyo Roho mmoja.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 12:9
21 Marejeleo ya Msalaba  

Ponyeni wagonjwa, takaseni wenye ukoma, fufueni wafu, fukuzeni pepo; mmepata burre, toeni burre.


Yesu akajibu, akawaambia, Amin, nawaambieni, Mkiwa na imani, msipokuwa na shaka, mtafanya si hilo la mtini tu, lakini hatta mkiuambia mlima huu, Ngʼoka, ukatupwe baharini, itatendeka.


watashika nyoka; hatta wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.


Wakafukuza pepo wengi, wakapaka mafuta watu wengi waliokuwa wagoujwa, wakawaponya.


Waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni ya kama, Ufalme wa Mungu umewakaribieni.


Akawatuma kuukhubiri ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.


khabari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na uguvu: nae akatembea huko na huko, akitenda kazi njema na kuponya wote walioonewa na Shetani; kwa maana Mungu alikuwa pamoja nae.


hatta katika njia kuu hutoa nje wagonjwa, huwaweka juu ya mifarashi na vitanda, illi, Petro akija, kivuli chake tu kimtie kivuli mmojawapo wao.


Na Mungu ameweka wengine katika Kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kiisha miujiza, kiisha karama za kuponya wagonjwa, na masaidiano, na kutawala, na aina za lugha.


wote wana karama za kuponya wagonjwa? wote wanena lugha? wote wafasiri? Takeni sana karama zilizo njema zaidi.


Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama simi upendo, si kitu mimi.


Lakini kwa kuwa tuna roho ile ile ya imani, kama ilivyoandikwa. Naliamini, na kwa sababu hiyo nalinena; sisi nasi twaamini, na kwa sababu hiyo twanena;


Maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; na hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu:


ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitenda haki, walipata ahadi, waliziba makanwa ya simba,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo