1 Wakorintho 12:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yule yule, akimgawia killa mmoja peke yake kama apendavyo yeye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa kila mtu kipaji tofauti, kama apendavyo mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa kila mtu kipaji tofauti, kama apendavyo mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa kila mtu kipaji tofauti, kama apendavyo mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Haya yote hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia kila mtu, kama apendavyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Haya yote hufanywa na huyo huyo Roho mmoja, Roho naye humgawia kila mtu, kama apendavyo. Tazama sura |