Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 11:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Lakini tukijihukumu vema nafsi zetu, tusingehukumiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Kama tungejichunguza wenyewe vizuri hatungeadhibiwa hivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Lakini kama tungejichunguza wenyewe tusingehukumiwa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 11:31
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mtu ajihoji nafsi yake, ndivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.


Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watu kadha wa kadha wamelala.


Tuhukumiwapo, twarudiwa na Bwana, tusipate kupasishwa adhabu pamoja na dunia.


Tukiziungama dhambi zetu, yu amini na wa haki atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha udhalimu wote.


Bassi, kumbuka ulikoanguka, nkatubu, ukayatende matendo ya kwanza. Lakini, usipotenda hivyo, naja kwako upesi, nitaondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo