Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 11:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watu kadha wa kadha wamelala.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Ndiyo maana wengi kati yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa wamekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Ndiyo maana wengi kati yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa wamekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Ndiyo maana wengi kati yenu ni dhaifu na wagonjwa, na wengine kadhaa wamekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 11:30
19 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Daud, akiisha kulitumikia shauri la Mungu katika kizazi chake, alilala, akawekwa pamoja na baba zake, akaona uharibifu.


Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala.


Maana alae na kunywa asivyostahili, hula na hunywa hukumu ya nafsi yake, kwa kutokuupambanua mwili wa Bwana.


Lakini tukijihukumu vema nafsi zetu, tusingehukumiwa.


Tuhukumiwapo, twarudiwa na Bwana, tusipate kupasishwa adhabu pamoja na dunia.


Angalieni, nawaambieni siri; hatutalala wote, lakini wote tutabadilika,


Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu Mungu atawaleta pamoja nae.


Mimi nawakemea wote niwapendao, na kuwarudi: bassi uwe na bidii, ukatubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo