Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 11:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Lakini mtu ajihoji nafsi yake, ndivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Basi, kila mtu ajichunguze mwenyewe kwanza, ndipo ale mkate huo na anywe kikombe hicho;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Inampasa mtu ajichunguze mwenyewe, kabla ya kula mkate na kukinywea kikombe.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 11:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Wakahuzunika sana, wakaanza kumwambia mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?


Maana alae na kunywa asivyostahili, hula na hunywa hukumu ya nafsi yake, kwa kutokuupambanua mwili wa Bwana.


Lakini tukijihukumu vema nafsi zetu, tusingehukumiwa.


Jijaribuni nafsi zenu kwamba m katika imani; jithubutisheni nafsi zenu. Au bamjijui nafsi zenu, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu isipokuwa mmekataliwa?


Lakini killa mtu aipime kazi yake mwenyewe, ndipo atakuwa na sababu ya kujisifu kwa nafsi yake tu, wala si kwa kujilinganislia na mwenzake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo