Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 11:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 kwa maana kwanza mkutanikapo kanisani nasikia kuna faraka kwenu; na nussu kidogo nasadiki:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Awali ya yote, nasikia kwamba mnapokutana pamoja hutokea mafarakano kati yenu. Nami naamini kiasi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Awali ya yote, nasikia kwamba mnapokutana pamoja hutokea mafarakano kati yenu. Nami naamini kiasi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Awali ya yote, nasikia kwamba mnapokutana pamoja hutokea mafarakano kati yenu. Nami naamini kiasi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kwanza, mnapokutana kama kundi la waumini, nasikia kwamba kuna mgawanyiko miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki kuwa ndivyo ilivyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kwanza, mnapokutana kama kundi la waumini, nasikia kwamba kuna mgawanyiko miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki kuwa ndivyo ilivyo.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 11:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maana, ikiwa kwenu kuna husuda na fitina na faraka, je! si watu wa tabia za mwilini ninyi; tena mnaenenda kwa jinsi ya kibinadamu.


YAKINI khabari imeenea ya kama kwenu kuna zina, na zina hiyo ya namna isiyonenwa hatta katika mataifa, kwamba mtu awe na mke wa baba yake.


JE! mtu wa kwenu akiwa na neno juu ya mwenzake athubutu kuhukumiwa mbele ya wasio haki wala si mbele ya watakatifu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo