Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 11:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Je! sharia ya asili yenyewe haiwafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Hata maumbile yenyewe huonesha wazi kwamba kwa mwanamume kuwa na nywele ndefu ni aibu kwake mwenyewe;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Hata maumbile yenyewe huonesha wazi kwamba kwa mwanamume kuwa na nywele ndefu ni aibu kwake mwenyewe;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Hata maumbile yenyewe huonesha wazi kwamba kwa mwanamume kuwa na nywele ndefu ni aibu kwake mwenyewe;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 11:14
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu, Mimi sina pepo; lakini namheshimu Baba yangu, nanyi hamniheshimu.


Hukumuni ninyi wenyewe katika nafsi zenu. Je! inapendeza mwanamke amwombe Mungu asipofunikwa kichwa chake?


lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni ntukufu kwake. Kwa sababu amepewa zile nywele ndefu illi ziwe badala ya mavazi.


Na wakitaka kujifunza neno, na waulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu, wanawake kunena katika kanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo