1 Wakorintho 10:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Wala tusifanye uasharati, kama wengine wao walivyofanya, wakaanguka muda wa siku moja watu ishirini na tatu elfu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu 23,000. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu 23,000. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu 23,000. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Wala tusifanye uzinzi kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu elfu ishirini na tatu kwa siku moja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Wala tusifanye uzinzi kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu 23,000 kwa siku moja. Tazama sura |