Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 10:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Lakini walio wengi, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:5
16 Marejeleo ya Msalaba  

Na ni nani aliochukizwa nao miaka arubaini? Si wale waliokosa, ambao mizoga yao ilianguka katika jangwa?


Tena napenda kuwakumbusha, ijapo mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba Bwana, baada ya kuwaokoa watu katika inchi ya Misri, aliwaharibu wasioamini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo