Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 10:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, bali faida yao walio wengi, wapafe kuokolewa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Muwe kama mimi; najaribu kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate kuokolewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Muwe kama mimi; najaribu kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate kuokolewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Muwe kama mimi; najaribu kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate kuokolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 kama hata mimi ninavyojaribu kumpendeza kila mtu kwa kila namna. Kwa maana sitafuti mema kwa ajili yangu mwenyewe bali kwa ajili ya wengi, ili waweze kuokolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 kama hata mimi ninavyojaribu kumpendeza kila mtu kwa kila namna. Kwa maana sitafuti mema kwa ajili yangu mwenyewe bali kwa ajili ya wengi, ili waweze kuokolewa.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:33
12 Marejeleo ya Msalaba  

Huenda nikapata kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi vao.


vivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na sisi sote tu viungo killa mmoja kwa wenzake.


Mtu asitafute kujifaidia nafsi yake, bali kumfaidia mwenzake.


haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, hauoni uchungu, hauhesabu mabaya;


Tazama hii ni marra ya tatu ya mimi kuwa tayari kuja kwenu, wala sitawidemea. Maana sitafuti vitu vyenu, bali ninyi: maana haiwapasi watoto kuwawekea akiba wazazi, bali wazazi watoto.


Mwadhani ya kuwa tunajindhuru kwenu tena? Mbele za Mungu twanena katika Kristo. Na haya yote, wapenzi, kwa ajili ya kuwajenga.


Maana sasa je! nawashawishi wana Adamu au Mungu? au nataka kuwapendeza wana Adamu? Kama ningekuwa hatta sasa nawapendeza wana Adamu, singekuwa mtumwa wa Kristo.


Maana wote wanatafuta vyao wenyewe, sivyo vya Yesu Kristo.


wakituzuia tusiseme na mataifa wapate kuokolewa; illi watimize dhambi zao siku zote; lakini hasira imewafikia hatta mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo