1 Wakorintho 10:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192131 Bassi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lo lote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Basi, chochote mfanyacho iwe ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Basi, chochote mfanyacho iwe ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Basi, chochote mfanyacho iwe ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Basi, lolote mfanyalo, kama ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Basi, lolote mfanyalo, kama ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu. Tazama sura |