Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 10:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Na nikitumia sehemu yangu kwa shukrani, kwa nini nitukanwe, kwa ajili ya kitu nikishukuriacho?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Nikila kwa shukrani, kwa nini nashutumiwa kwa ajili ya kile ambacho ninamshukuria Mungu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kama nikila kwa shukrani, kwa nini nashutumiwa kwa kile ambacho kwa hicho ninamshukuru Mungu?

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:30
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, usitajwe vibaya kwa huo wema wenu.


Yeye aadhimishae siku, kwa Bwana aiadhimisha; na yeye asiyeadhimisha siku, haiadhimishi kwa Bwana; nae alae, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; nae asiokula, hali kwa Bwana, nae amshukuru Mungu.


JE! mimi si mtume? mimi si huru? sikumwona Yesu Kristo Bwana wetu? ninyi si kazi yangu katika Bwana?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo