Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 10:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 maana dunia ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 maana Maandiko yasema: “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mtu akiwaambieni, Kitu hiki kimetolewa sadaka kwa sanamu, msile, kwa ajili yake yeye aliyekuonyesha, na kwa ajili ya dhamiri; maana dunia ni mali ya Bwana na vitu vyote viijazavyo.


Kwa maana killa kiumhe cha Mungu ni kizuri, waki hakuma cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani:


Uwaagize walio matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, wala wasitumainie utajiri usio yakini, bali Mungu aliye hayi atupae vitu vyote kwa wingi, tuvitumie kwa furaha;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo