Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 10:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 Killa kitu kiuzwacho sokoni kulani, bila kuulizauliza, kwa ajili ya dhamiri;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Kuleni chochote kinachouzwa sokoni, bila kuuliza swali lolote kwa ajili ya dhamiri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Kuleni chochote kinachouzwa sokoni, bila kuuliza swali lolote kwa ajili ya dhamiri.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Sauti ikamjia marra ya pili, Kilichotakaswa na Mungu, usikiite najis.


Kwa hiyo lazima kutumika, si kwa sababu ya ghadhabu tu, illa na kwa sababu ya dhamiri.


Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najis asili yake, lakini kwake huyu akionae kitu kuwa najis, kwake huyo kitu kile ni najis.


Bali elimu hii haimo ndani ya watu wote; illa wengine kwa kuizoelea ile sanamu hatta sasa hula kama ni kitu kilichotolewa sadaka kwa sanamu; na dhamiri yao, kwa kuwa dhaifu, hunajisika.


Kwa maana killa kiumhe cha Mungu ni kizuri, waki hakuma cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani:


Vitu vyote ni sali kwao walio safi: lakini hapana kilicho safi kwa walio najis, wasioamini, bali akili zao na nia zao pia zimekuwa najis.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo