Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 10:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Kwa ajili ya hayo, wapenzi wangu, ikimbieni ibada ya sanamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Kwa hiyo, wapenzi wangu, epeni ibada za sanamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Kwa hiyo, wapenzi wangu, epeni ibada za sanamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Kwa hiyo, wapenzi wangu, epeni ibada za sanamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Kwa hiyo wapendwa wangu, zikimbieni ibada za sanamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Kwa hiyo wapenzi wangu, zikimbieni ibada za sanamu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:14
21 Marejeleo ya Msalaba  

balituwaandikie wajiepushe na unajisi wa sanamu na asharati na nyama zilizosongwa na damu.


Msijilipize kisasi, wapenzi, bali ipisheni ghadhabu; maana imeandikwa, Kisasi juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.


Nasema kama nti watu wenye akili; ufikirini ninyi ninenalo.


Bassi niseme nini? ya kwamba sanamu ni kitu? au ya kwamba kile kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu?


Wala msiwe waabudu sanamu, kama wengine wao; kama ilivyoandikwa, Watu waliketi kula na kunywa, wakasimama wacheze.


Lakini sasa nimewaandikieni kwamba msichangamane na mtu aitwae ndugu, akiwa mzinzi au mwenye kutamani an mwenye kuabudu sanamu au mtukanaji au mlevi au mnangʼanyi; mtu wa namna hii msikubali hatta kula nae.


Kwa nini? kwa sababu siwapendi ninyi? Mungu anajua.


Na kwa furaha nyingi nitatapanya, tena nitatapanywa kwa ajili ya roho zenu: ingawa nizidipo kuwapenda sana, ninapungukiwa kupendwa?


Mwadhani ya kuwa tunajindhuru kwenu tena? Mbele za Mungu twanena katika Kristo. Na haya yote, wapenzi, kwa ajili ya kuwajenga.


Kwa hiyo Tokeni kati yao, mkatengwe nao, asema Bwana, Wala msiguse kitu kilicho kichafu.


BASSI, kwa kuwa tuna ahadi hizo, wapenzi, tujitakase nafsi zelu uchafu wote wa mwili na roho, tukitimiza utakatifu katika kumeha Mungu.


BASSI, ndugu zangu, wapendwa wangu, ninaowaonea shauku, furaha yangu, na taji yangu, simameni imara katika Bwana, wapenzi wangu.


PAOLO, mfungwa wa Kristo Yesu, na Timotheo aliye ndugu yelu, kwa Filemon mpendwa wetu, mtenda kazi pamoja nasi,


Lakini, wapenzi, ijapokuwa twanena hayo, katika khabari zenu tumesadiki mambo yaliyo mazuri zaidi, na yaliyo na wokofu:


Mapenzi, nakusihini kama wapitaji na wasafiri, ziepukeni tamaa za mwili zipiganazo na roho;


Watoto wangu wadogo, jilindeni nafsi zenu na sanamu.


Watu wote wakaao juu ya inchi wakamsujudu, ambao majina yao hayakuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana kondoo aliyechinjwa kabla ya kuwekwa misingi ya dunia.


Lakini ninayo maneno machache juu yako, kwa kuwa unao huko watu washikao mafundisho ya Balaam, yeye aliyemfundisha Balak atie ukwazo mbele ya wana wa Israeli, wavile vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na kuzini.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, nae waabuduo sanamu, na wawongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndio mauti ya pili.


Bali nje wako mbwa na wachawi na wazinzi na wauaji nao waabuduo sanamu, na killa mtu apendae uwongo na kuufanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo