Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 10:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Wala msinungʼunike, kama wengine wao walivyommgʼunika, wakaharibiwa na mharabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Wala msinungunike kama baadhi yao walivyonungunika, wakaangamizwa na Mwangamizi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Wala msinungunike kama baadhi yao walivyonungunika, wakaangamizwa na Mwangamizi!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Wala msinung'unike kama baadhi yao walivyonung'unika, wakaangamizwa na Mwangamizi!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Msinung’unike kama baadhi yao walivyofanya, wakaangamizwa na malaika mharibifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Msinung’unike kama baadhi yao walivyofanya, wakaangamizwa na mharabu.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 10:10
23 Marejeleo ya Msalaba  

Marra malaika wa Bwana akampiga, kwa sababu hakumpa Mungu utukufu: akaliwa na funza, akatoa roho.


Yatendeni mambo yote pasipo manungʼuniko na mashindano,


Kwa imani akaifanya Pasaka, na kunyunyiza ile damu, illi mwenye kuwaangamiza wazaliwa wa kwanza asiwaguse wao.


Watu hawa ni wenye kunungʼunika, wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao vyanena maneno ya kiburi makuu mno, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida.


NIKASIKIA sauti kuu kutoka hekaluni, ikiwaambia wale malaika saba, Enendeni, mkavimimine vile vichupa vya ghadhabu ya Mungu juu ya inchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo