1 Wakorintho 1:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19219 Mungu ni mwaminifu, ambae mliitwa nae muingie katika ushirika wa Mwana wake, Yesu Kristo Bwana wetu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita nyinyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita nyinyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mungu ni mwaminifu; yeye aliwaita nyinyi muwe na umoja na Mwanae Yesu Kristo Bwana wetu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Mungu ambaye mmeitwa naye ili mwe na ushirika na Mwanawe Isa Al-Masihi, Bwana wetu ni mwaminifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Mungu ambaye mmeitwa naye ili mwe na ushirika na Mwanawe Isa Al-Masihi, Bwana wetu ni mwaminifu. Tazama sura |