Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 1:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye ajisifuye ajisifu katika Bwana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, na ajivunie kazi ya Bwana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, na ajivunie kazi ya Bwana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Basi, kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mwenye kutaka kujivuna, na ajivunie kazi ya Bwana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Mwenyezi Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Hivyo, kama ilivyoandikwa: “Yeye ajisifuye na ajisifu katika Bwana Mwenyezi.”

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 1:31
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana ikiwa Ibrahimu alipewa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia, lakini si mbele za Mungu.


Mambo haya, ndugu, nimeyafanya kuwa mfano wa mimi na wa Apollo kwa ajili yemi, illi kwa khabari zetu mpate kujifunza katika fikara zenu kutokuruka mpaka wa yale yaliyoandikwa; mtu mmoja asijivune juu ya mwenziwe, kwa ajili ya mtu mwingine.


Lakini yeye ajisifuye, na ajisifu kukatika Bwana.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Muugu kwa Roho, na kujisifu katika Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili. Walakini mimi ningeweza kuutumainia mwili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo