Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 1:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 mwenye mwili aliye yote asije akajisifu mbele ya Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Basi, hakuna mtu awezaye kujivunia chochote mbele ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 ili mtu yeyote asijisifu mbele zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 ili mtu yeyote asijisifu mbele zake.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 1:29
11 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, nina sababu ya kujisifu katika Kristo Yesu mbele za Mungu.


Twajua ya kuwa mambo yote yasemwayo na torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, illi killa kinywa kifumbwe, ulimwengu wote ukapasiwe na hukumu ya Mungu:


Ku wapi, bassi, kujisifu? Knmefungiwa mlango. Kwa sharia ya namna gani? Kwa sharia ya matendo? La! bali kwa sharia ya imani.


Kwa maana ikiwa Ibrahimu alipewa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia, lakini si mbele za Mungu.


kusudi, kama ilivyoandikwa, Yeye ajisifuye ajisifu katika Bwana.


Maana ni nani anaekupambanua na mwingine? na una, nini usiyoipokea? Na iwapo uliipokea, wajisifiani kana kwamba hukuipokea?


Kujisifu kwenu si kuzuri. Hamjui kwamba chachu kidogo hulitia chachu donge zima?


wala si kwa matendo, asije mtu awae yote akajisifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo