Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 1:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Maana imeandikwa Nitaharibu hekima yao wenye hekima, Na akili zao wenye akili nitazikataa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiharibu hekima ya wenye hekima, na kubatilisha akili ya wenye akili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiharibu hekima ya wenye hekima, na kubatilisha akili ya wenye akili.”

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 1:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hekima ya dunia hii ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwa maana imeandikwa, Yeye ndiye awanasae wenye hekima katika hila yao.


Sisi tu wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi wenye akili katika Kristo; sisi dhaifu, lakini ninyi hodari; ninyi mna utukufu, lakini sisi hatupati heshima.


Mambo haya, ndugu, nimeyafanya kuwa mfano wa mimi na wa Apollo kwa ajili yemi, illi kwa khabari zetu mpate kujifunza katika fikara zenu kutokuruka mpaka wa yale yaliyoandikwa; mtu mmoja asijivune juu ya mwenziwe, kwa ajili ya mtu mwingine.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo