Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Wakorintho 1:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 An mlibatizwa kwa jina la Paolo?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Namshukuru Mungu kwamba sikumbatiza mtu yeyote miongoni mwenu isipokuwa tu Krispo na Gayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Nashukuru kwamba sikumbatiza mtu yeyote isipokuwa Krispo na Gayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Nashukuru kwamba sikumbatiza mtu yeyote isipokuwa Krispo na Gayo.

Tazama sura Nakili




1 Wakorintho 1:14
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akaamuru wabatizwe kwa Jina lake Yesu Kristo. Ndipo wakamsihi azidi kukaa siku kadha wa kadha.


Na Krispo, mkuu wa sunagogi, akamwamini Bwana pamoja na nyumba yake yote. Wakorintho wengi wakasikia, wakaamini, wakabatizwa.


Gayo, mwenyeji wangu na wa Kanisa lote pia awasalimu. Erasto, wakili wa mji awasalimu, na Kwarto, ndugu yetu.


Namshukuru Mungu, kwa sababu sikumbatiza mtu kwenu, illa Krispo na Gayo; mtu asije akasema kwamba nimebatiza kwa jina langu mwenyewe.


Namshukuru Mungu wangu siku zote kwa ajili yenu, kwa sababu ya neema ya Mungu mliyopewa katika Kristo Yesu;


Namshukuru Mungu wangu, nanena kwa lugha zaidi ya ninyi nyote;


Mungu ashukuriwe, anaetushangiliza daima katika Kristo, na kuyadhihirisha manukato ya hawa wamjuao killa pahali kwa kazi yetu.


mkimshukuru Mungu Baba siku zote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo;


Na amani ya Mungu iamue mioyoni mwenu, ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; na mwe watu wa shukrani.


Na killa mfanjalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye.


shukuruni kwa killa jambo; maana haya ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.


Nami namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona kuwa mwaminifu, akiniweka katika khuduma yake;


Namshukuru Mungu wangu, siku zote nikikukumbuka katika maombi yangu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo