1 Wakorintho 1:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 PAOLO, aliyeitwa kuwa mtume wa Yesu Kristo kwa mapenzi ya Mungu, na Sosthene ndugu yetu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mimi Paulo, niliyeitwa kuwa mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Sosthene, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Paulo, niliyeitwa kwa mapenzi ya Mungu kuwa mtume wa Al-Masihi Isa, na Sosthene ndugu yetu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Paulo, niliyeitwa kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuwa mtume wa Al-Masihi Isa, na Sosthene ndugu yetu. Tazama sura |