Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 5:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Na yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hayi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Lakini mwanamke ambaye huishi maisha ya anasa, huyo amekufa, ingawa yu hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Lakini mwanamke ambaye huishi maisha ya anasa, huyo amekufa, ingawa yu hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Lakini mwanamke ambaye huishi maisha ya anasa, huyo amekufa, ingawa yu hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Lakini mjane aishiye kwa anasa amekufa, ingawa anaishi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Lakini mjane aishiye kwa anasa amekufa, ingawa anaishi.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 5:6
29 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.


Kiisha nitaiambia roho yangu, Ee roho yangu, nna mali nyingi ulizojiwekea akiba kwa miaka mingi: pumzika, hassi, ule, unywe, ufurahi.


Hatta baada ya siku si nyingi yule mdogo akakusanya vitu vyake vyote, akasafiri kwenda inchi ya mbali: akatapanya huko mali zake kwa maisha ya uasharati.


Kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana. Wakaanza kufanya furaha.


Tena kufanya furaha na kuona furaha kulikuwa wajib, kwa maana huyu ndugu yako alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana.


Palikuwa na mtu tajiri, aliyevaa porfuro na bafuta, akafanya furaha kilia siku na anasa.


Lakini mlitoka kwenda kuona nini? Mtu aliyevikwa mavazi meroro? Fahamuni, watu wenye nguo za umalidadi na kuishi maisha ya anasa wamo katika majumba ya wafalme.


NA ninyi, mlipokmva wafu kwa sababu ya makosa yenu na dhambi zemi,


hatta wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu, alituhuisha pamoja na Kristo (mmeokolewa kwa neema);


Kwa biyo anena, Amka, wewe usinziae, kafufuka, na Kristo atakuangaza.


Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutokutahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hayi pamoja nae, akiisba kuwasameheni makosa yote;


Kwa maana katika hawa wamo wale wajiingizao kalika nyumba za watu, na kuchukua mateka wanawake wajinga wenye mizigo ya dhambi, waliochukuliwa na tamaa za namna nyingi,


Mmefanya anasa katika dunia, na kujifurahisha kwa tamaa; mmejilisha mioyo yenu kama siku ya machinjo.


Kwa kadiri aliyojitukuza na kufanya anasa, mpeni maumivu na huzuni kadiri hiyo hiyo. Kwa kuwa alisema moyoni mwake, Nimeketi malkiya, nami si mjane, wala sitaona huzuni kamwe.


NA kwa malaika wa kanisa lililo katika Sardi, andika; Haya ayanena yeye aliye nazo roho saba za Mungu na zile nyota saba: Najua matendo yako, ya kuwa una jina la kuwa hayi, nawe umekufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo