Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 5:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Waheshimu wajane walio wajane kweli kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Waheshimu wanawake wajane walio wajane kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Waheshimu wanawake wajane walio wajane kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Waheshimu wanawake wajane walio wajane kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Waheshimu wanawake wajane ambao ni wajane kweli kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Waheshimu wanawake wajane ambao ni wajane kweli kweli.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 5:3
28 Marejeleo ya Msalaba  

Mkalitangua neno la Mungu kwa mapokeo yemi.


Ole wenu waandisbi na Mafarisayo, wanafiki! kwa kuwa mnakula nyumba za wajane, na kwa unafiki mnasali sala ndefu; kwa hiyo mtapokea hukumu iliyo kubwa mno.


nae mjane wa miaka themanini na mine; asiyeondoka hekaluni, kwa kufunga na kusali akiabudu usiku na mchana.


Bassi, alipokaribia lango la mji, hapo palikuwa na maiti anachukuliwa nje, mwana pekee wa mama yake, nae mjane; na watu wa mji wengi pamoja nae.


Yesu akamwona Nathanaeli akija kwake, akamtaja khabari zake, Tazama, huyu ni Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake.


HATTA siku ziie wanafunzi walipokuwa wakiongezeka hesabu yao, palikuwa na manungʼuniko ya Wahelenisti juu ya Waebrania kwa sababu wajane wao walisahauliwa katika khuduma ya killa siku.


Petro akaondoka akafuatana nao. Alipofika wakampeleka juu orofani: wajane wote wakasimama karibu nae, wakilia na kuniwonyesha zile kanzu na nguo alizozifanya Paa wakati ule alipokuwa pamoja nao.


Akampa mkono, akamwinua; hatta akiisha kuwaita wale watakatifu na wajane akamweka mbele yao, yu hayi.


Hatukutaka kusifiwa na watia Adamu, wala na ninyi, wala na wengine, tulipokuwa tuliweza kuwalemea kama mitume wa Kristo;


wanawake wazee kama mama, wanawake vijana kama ndugu, kwa utakatifu wote.


Dini iliyo safi na isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika shidda yao, na kujilinda pasipo mawaa katika dunia.


Heshimuni walu wote. Upendeni udugu. Mcheni Mungu. Mpeni heshima mfalme.


Ninyi wanme kadhalika, kaeni na wake zenu kwa akili; mkimpa mke heshima, kama chombo kisieho nguvu, na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi sala zenu zisizuiliwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo