Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 5:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Wale watendao dhambi, uwakemee mbele ya watu wote, illi na wengine waogope.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Wale wanaotenda dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Wale wanaotenda dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Wale wanaotenda dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 5:20
15 Marejeleo ya Msalaba  

Khabari hii ikajulikana na Wayahudi wote na Wayunani waliokaa Efeso, khofu ikawaingia wote, jina la Bwana Yesu likaadhimishwa.


Khofu nyingi ikawapata kanisa lote na watu wote walioyasikia haya.


Anania aliposikia maneno haya akaanguka, akafa. Khofu nyiugi ikawapata watu wote walioyasikia haya.


Maana, angalieni, kuhuzunishwa kuko huko mbele za Mungu kwalitenda bidii ya namna gani ndani yenu; naam, na kujitetea, naam, na kukasirika, naam, na khofu, naam, na shauku, naam, na kujitahidi, naam, na kisasi. Kwa killa njia mmejionyesha kuwa safi katika jambo hilo.


Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;


Katika hao wamo Humenayo na Iskander, ambao nimempa Shetani wafundishwe wasimtukane Mungu.


likhubiri neno, fanya bidii, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, kaonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.


Kwa sababu hiyo uwakemee kwa ukali wapate uzima katika Imani,


Nena maneno hayo, ukaonye ukakaripie kwa mamlaka yote; mtu aliye yote asikudharau.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo