Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 5:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Usikubali mashitaka juu ya mzee, illa kwa vinywa vyao mashahidi wawili au watatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Usikubali kupokea mashtaka dhidi ya mzee yasipowakilishwa na mashahidi wawili au watatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Usikubali kupokea mashtaka dhidi ya mzee yasipowakilishwa na mashahidi wawili au watatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Usikubali kupokea mashtaka dhidi ya mzee yasipowakilishwa na mashahidi wawili au watatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Usiendekeze mashtaka dhidi ya mzee isipokuwa yawe yameletwa na mashahidi wawili au watatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Usiendekeze mashtaka dhidi ya mzee isipokuwa yawe yameletwa na mashahidi wawili au watatu.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 5:19
14 Marejeleo ya Msalaba  

La, hakusikia, chukua pamoja nawe tena mtu mmoja au wawili, illi kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu killa neno lithubutike.


Bassi Pilato akawatokea nje akasema, Mashitaka gani mnayoleta juu ya mtu huyu?


Na tena katika sharia yenu imeandikwa, Ushuhuda wa watu wawili ni kweli.


Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaha na Saul.


Nikawajibu kwamba sio desturi ya Warumi kumtoa mtu aliye yote auawe, kabla mtu yule aliyeshitakiwa hajaonana na washitaki wake uso kwa uso, na kupewa nafasi ya kujitetea katika mashitaka yake.


HII ndio marra ya tatu ya mimi kuja kwenu. Kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu killa neno litathubutishwa.


Usiache kuitumia ile karama iliyo udani yako uliyopewa wewe kwa unabii, na kwa kuwekewa mikono ya wazee.


Wazee watawalao vema wapewe heshima mardufu, khassa wao wajitaabishao kwa kukhutubu na kufundisha.


ikiwa mtu hakushitakiwa neno, nae ni mume wa mke mmoja, ana watoto waaminio, wasioshitakiwa kuwa ni asharati na wasiotii.


Mtu aliyeidharau sharia ya Musa, alikufa pasipo huruma, kwa neno la mashahidi wawili au watatu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo