Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 5:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Kwa maana andiko lasema, Usimfunge kinywa ngʼombe apurapo nganu: na tena, Mtenda kazi astahili ujira wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Usimfunge ng'ombe kinywa anapopura nafaka,” na tena “Mfanyakazi astahili malipo yake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Usimfunge ng'ombe kinywa anapopura nafaka,” na tena “Mfanyakazi astahili malipo yake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Maana Maandiko Matakatifu yasema: “Usimfunge ng'ombe kinywa anapopura nafaka,” na tena “Mfanyakazi astahili malipo yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 5:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

wala mkoba wa safari, wula kanzu mbili, wala viatu, wala fimbo: maana mtenda kazi astahili posho lake.


Kaeni katika nyumba hiyo hiyo, mkila na kunywa vya kwao; kwa maana mtenda kazi astahili kupewa ijara yake.


Kwa maana andiko lanena, Killa amwaminiye hatatahayarika.


Mungu hakuwasukumia mbali watu wake aliowajua tokea asili. Au hamjui yale yaliyonenwa na maandiko juu ya Eliya? jinsi anavyowashitaki Waisraeli mbele ya Mungu,


Maana maandiko yasemaje? Ibrabimu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki.


Kwa maana maandiko yasema na Farao, ya kama, Nilikusimamisha, illi niouyeshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwe katika inchi yote.


Na Bwana vivyo hivyo ameamuru kwamba wale waikhubirio Injili wamzukiwe kwa Injili.


Na andiko, likiona tangu zamani kwamba Mungu atawafanyizia mataifa wema kwa imani, lilimkhubiri Ibrahimu Injili zamani, ya kama, Kwa wewe mataifa yote yatabarikiwa.


Au mwadhani ya kwamba maandiko yasema burre? Roho ikaayo ndani yetu hutamani kiasi cha kuona wivu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo