Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 5:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 nao wana hukumu, kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 5:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

mtu akiwa na njaa, ale nyumbani; msipate kukutanika kwa hukumu. Nayo yaliyosalia nijapo nitayatengeneza.


Nastaajabu kwa kuwa mmemwacha hivi upesi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo,


Bali wajane walio vijana nkatae kuwaandika, maana wakiona tamaa kinyume cha Kristo, wataka kuolewa,


Na pamoja na hayo wajifunza kuwa wavivu, wakizungukazunguka nyumba kwa nyumba; wala si wavivu tu, lakini ni wachongezi, hujishughulisha na mambo ya wengine wakinena maneno yasiyowapasa.


MSIWE waalimu wengi, ndugu zangu, mkijua ya kuwa tutapata hukumu kubwa zaidi.


Kwa maana wakati umefika hukumu ianzie nyumba ya Mungu; na ikianza kwetu, nini mwisho wao wasioitu Injili ya Mungu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo