Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 4:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kuomba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mwenyezi Mungu na kwa kuomba.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 4:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini toeni sadaka vile vya ndani, na tazama, vitu vyote ni safi kwemi.


Yesu akamjibu, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, hali kwa killa neno la Mungu.


Kwa maana yule mume asiyeamini hutakaswa kwa mkewe; na yule mke asiyeamini hutakaswa kwa mumewe; kama isingekuwa bivyo, watoto wenu wangekuwa si safi; bali sasa ni watakatifu.


wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru kujiepusha na vyakula ambavyo Mungu aliviumba vopokewe kwa shukrani na walio na imani na wenye kuijua sana kweli.


Vitu vyote ni sali kwao walio safi: lakini hapana kilicho safi kwa walio najis, wasioamini, bali akili zao na nia zao pia zimekuwa najis.


Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hatta vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo