Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 4:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Uwaagize watu hayo na kuwafundisha hayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mambo haya yaagize na kuyafundisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mambo haya yaagize na kuyafundisha.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 4:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Uwaagize haya, illi wawe bawana lawama.


Na wale walio na mabwana waaminio, wasiwadharau kwa kuwa ni ndugu; hali afadhali wawatumikie, kwa sababu hao waishirikio faida ya kazi zao wamekuwa wenye imani na kupendwa. Uwafundishe mambo haya, na kuonya.


likhubiri neno, fanya bidii, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, kaonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.


Nena maneno hayo, ukaonye ukakaripie kwa mamlaka yote; mtu aliye yote asikudharau.


Neno hili ni amini, na mambo hayo nataka uyanene kwa nguvu, illi wale waliomwamini Mungu wakumbuke kudumu katika matendo mema. Haya ni mazuri, tena yana faida kwa wana Adamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo