Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 3:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 Imempasa tena kushuhudiwa mazuri na watu walio nje; asitumbukie katika lawama na mtego wa Shetani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Inampasa pia awe na sifa njema kwa watu walio nje, ili asije akalaumiwa na kuanguka kwenye mtego wa ibilisi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Inampasa pia awe na sifa njema kwa watu walio nje, ili asije akalaumiwa na kuanguka kwenye mtego wa ibilisi.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 3:7
21 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu; hali wale walio nje yote huwawia kwa mifano,


Wakasema, Kornelio akida, mtu mwenye haki, mcha Mungu, aliye na sifa njema kwa taifa lote la Wayahudi, alionywa na malaika mtakatifu kutuma watu kwako, uende nyumbani kwake, apate kusikiliza maneno yako.


Bassi mtu mmoja, Anania, mcha Mungu kwa kuifuata sharia, aliyeshuhudiwa na Wayahudi wote waliokaa huko, akanijia, akasimama karibu nami, akaniambia, Ndugu, Saul, uone.


Bassi ndugu, chagueni watu saba miongoni mwenu, walioshuhudiwa kuwa wema, illi tuwaweke juu ya jambo hili:


Msiwakoseshe Wayahudi wala Wayunaui wala Kanisa la Mungu:


Maana yanikhusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu walio ndani?


Tusiwe kwao la namna yo yote katika jambo lo lote, khuduma yetu isilaumiwe;


tukitangulia kufikiri yaliyo mema, si mbele ya Bwana tu, bali na mbele ya wana Adamu.


Enendeni kwa hekima mbele vao walio nje, mkiukomboa wakati.


illi mwenende kwa adabu mbele yao walio nje, wala msiwe na baja ya cho chote.


jitengeni na ubaya wa killa namna.


si mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna, akaanguka katika hukumu ya Shetani.


Bassi napenda wajane wasio wazee waolewe, wazae watoto, watawale mambo ya nyumbani, wasimpe adui nafasi ya kulaumu;


Watakao kuwa na mali waanguka katika majaribu na tanzi, na tamaa zisizo maana, zenye kudhuru, ziwatosazo wana Adamu katika upotevu na uharibifu.


wapate tena fahamu zao, na kutoka katika mtego wa Shetani, wamepatikana wahayi nae, hatta kuyafanya apendayo Mungu.


na kuwa wenye niasi, na kuwa safi, kukaa nyumbani mwao, kuwa wema, kuwatii waume zao weuyewe, illi neno la Muugu lisitukanwe.


na maneno yenye uzima yasiyoweza kuhukumiwa, illi yule mwenye kupingana nawe ataliayarike, kwa kuwa hana neno baya la kunena juu yetu.


Demetrio ameshuhudiwa na watu wote, tena na ile kweli yenyewe. Na sisi pia twashuhudu, nawe wajua ya kwamba ushuhuda wetu ni kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo