1 Timotheo 3:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19216 si mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna, akaanguka katika hukumu ya Shetani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Asiwe mtu aliyeongoka karibuni asije akajivuna na kuangukia kwenye hukumu ile ile ya ibilisi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Asiwe mtu aliyeokoka karibuni asije akajivuna na kuangukia kwenye hukumu ile ile ya ibilisi. Tazama sura |