1 Timotheo 3:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 AMINI neno hili, Mtu akitaka uaskofu, atamani kazi nzuri. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Msemo huu ni wa kweli: Mtu anayetaka kuwa askofu, huyo anatamani kazi nzuri. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Msemo huu ni wa kweli: Mtu anayetaka kuwa askofu, huyo anatamani kazi nzuri. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Msemo huu ni wa kweli: mtu anayetaka kuwa askofu, huyo anatamani kazi nzuri. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Hili ni neno la kuaminiwa, kwamba mtu akitamani kuwa mwangalizi wa kundi la waumini, atamani kazi nzuri. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Hili ni neno la kuaminiwa, kwamba mtu akitamani kazi ya uangalizi, atamani kazi nzuri. Tazama sura |