1 Timotheo 2:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Bassi nataka wanaume waombe killa mahali, wakimua mikono mitakatifu, pasipo hasira na majadiliano. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Basi, popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Basi, popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Basi, popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Nataka kila mahali wanaume wasali wakiinua mikono mitakatifu pasipo hasira wala kugombana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Nataka kila mahali wanaume wasali wakiinua mikono mitakatifu pasipo hasira wala kugombana. Tazama sura |