1 Timotheo 2:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wana Adamu ni mmoja, mwana Adamu, Kristo Yesu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Al-Masihi Isa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mwenyezi Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Al-Masihi Isa, Tazama sura |