Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 2:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 atakae watu wote waokolewe wakapate kujua sana yaliyo kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 2:4
32 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi, enendeni, kawafanyeni mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;


Akawaambia, Enendem nlimwenguni mwote, mkaikhubiri injili kwa killa kiumbe.


Uwajulishe watu wake wokofu Zikiondolewa dhambi zao,


Yule Bwana akamwambia mtumishi wake, Kaenda barabarani na mipakani, ukawashurutishe waingie illi nyumba yangu ipate kujaa.


na mataifa yote wakhubiriwe kwa jina lake toba na ondoleo la dhambi, kuanzia Yerusalemi.


Yesu akamwambia, Ndimi niliye njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba bila kwa mimi.


Uwatakase kwa kweli; neno lako ndio kweli.


Yote anipayo Bwana itakuja kwangu; nae ajae kwangu sitamtupa nje kamwe.


Huenda nikapata kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi vao.


Kwa maana twajitaabisha na kujitahidi katika jambo hili, kwa sababu twamtumaini Mungu aliye hayi aliye mwokozi wa watu wote, khassa wa hao waaminio.


akiwaonya kwai npole washindanao nae, illi, kama ikiwezekana, Mungu awape kutubu na ujuzi wa kweli,


wakijifunza siku zote, wasiweze kabisa kufikia ujuzi wa kweli.


PAOLO, mtumwa wa Mungu, mtume wa Yesu Kristo, illi ienee imani ya wateule wa Mungu, na ujuzi wa kweli iletayo utawa,


Maana neema ya Mungu iwaokoayo wana Adamu wote imeonekana;


Maana, kama tukifanya dhambi kusudi baada ya kuupokea ujuzi wa kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi;


Lakini, mkiwa na wivu wenye uchungu na magomvi mioyoni mwenu msijisifu, wala msiseme nwongo juu ya kweli.


Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wahesabuvyo kukawia, bali huvumilia kwenu, hapendi mtu aliye yote apotee, bali wote wafikilie toba.


MZEE kwa bibi mteule na watoto wake niwapendao katika kweli; wala si mimi peke yangu, bali na ndugu wote waijuao ile kweli;


Nikaona malaika niwingine akiruka kati kati ya mbingu, mwenye injili ya milele, awakhubiri wakaao juu ya inchi na killa taifa na kabila na lugha na jamaa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo