Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 2:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Maana hili ni zuri, lenye kibali mbele za Mwokozi wetu Mungu

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu,

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 2:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Roho yangu yamfurahia Mungu, Mwokozi wangu.


Kwa kuwa yeye amtumikiae Kristo katika mambo haya humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wana Adamu.


mmejazwa matuuda ya haki, kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mungu.


Lakini ninavyo vitu vyote na kuzidi; tena nimejaa tele, nimepokea kwa mkono ya Epafrodito vitu vile vilivyotoka kwenu, harufu ya manukato, sadaka yenye kibali, impendezayo Mungu.


mwenende kama ilivyo wajib wenu kwa Bwana, mkimpendeza kabisa; kwa killa kazi njema mkizaa matunda, mkizidi katika maarifa ya Mungu;


ILIYOBAKI, ndugu, tunakusihini na kukuonyeni kuenenda katika Bwana Yesu, kama mlivyopokea kwetu, jinsi iwapasavyo kuenenda na kumpendeza Mungu, kama na muavyoenenda, mpate kuzidizidi sana.


PAOLO, mtume wa Yesu Kristo, kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Bwana Yesu Kristo, tumaini letu;


Kwa maana twajitaabisha na kujitahidi katika jambo hili, kwa sababu twamtumaini Mungu aliye hayi aliye mwokozi wa watu wote, khassa wa hao waaminio.


Lakini mjane akiwa ana watoto au wajukuu, na wajifunze kwanza kutenda yaliyo wajib wao katika nyumba yao wenyewe, na kuwalipa wazazi wao. Maana jambo hili ni zuri, tena lipendezalo mbele za Mungu.


aliyetuokoa akatuita kwa wito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake, tuliyopewa sisi katika Kristo Yesu, kabla ya nyakati za zamani;


Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana na watu; maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Mungu.


Kwa maana ni sifa gani kuvumilia, mtendapo dhambi na kupigwa makofi? Lakini kuvumilia, mtendapo mema na kupata mateso, huu ndio wema khassa mbele za Mungu.


ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hayi, mmejengwa mwe nyumba ya Roho, ukuhani utakatifu, mtoe dhabibu za roho, zipatazo kibali kwa Mungu, kwa Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo