1 Timotheo 2:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 Lakini ataokolewa, kwa ule uzazi, kama wakidumu katika imani na npendo na utakatifu pamoja na moyo wa kiasi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Hata hivyo, mwanamke ataokolewa kwa kupata watoto, kama akidumu katika imani, upendo, utakatifu na unyofu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Hata hivyo, mwanamke ataokolewa kwa kupata watoto, kama akidumu katika imani, upendo, utakatifu na unyofu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Hata hivyo, mwanamke ataokolewa kwa kupata watoto, kama akidumu katika imani, upendo, utakatifu na unyofu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Lakini mwanamke ataokolewa kwa kuzaa kwake, wakiendelea kudumu katika imani, upendo na utakatifu, pamoja na kuwa na kiasi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Lakini mwanamke ataokolewa kwa kuzaa kwake, kama wakiendelea kudumu katika imani, upendo na utakatifu, pamoja na kuwa na kiasi. Tazama sura |