Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 2:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Na Adamu hakudanganywa, bali mwanamke akidanganywa aliingia hali ya kukosa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 2:14
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini naogopa; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikara zenu, mkauacha unyofu wenu kwa Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo