Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 2:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 bali kama iwapasavyo wanawake wanaokiri utawa, kwa matendo mema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 2:10
15 Marejeleo ya Msalaba  

Na mwanafunzi mmoja alikuwako Yoppa, jina lake Tabitha, (tafsiri yake ni paa:) mwanamke huyu alikuwa amejaa matendo mema na sadaka alizozitoa.


Petro akaondoka akafuatana nao. Alipofika wakampeleka juu orofani: wajane wote wakasimama karibu nae, wakilia na kuniwonyesha zile kanzu na nguo alizozifanya Paa wakati ule alipokuwa pamoja nao.


Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo Mungu aliyatengeneza tokea awali illi tuenende nayo.


Mwanamke na ajifunze kalika utulivu, akitii kwa killa namna.


Na vivyo hivyo wanawake wajipambe kwa mavazi ya kujisetiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi, si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;


aliyejitoa nafsi yake kwa ajili yetu, illi atuokoe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake, walio na juhudi kwa matendo mema.


Neno hili ni amini, na mambo hayo nataka uyanene kwa nguvu, illi wale waliomwamini Mungu wakumbuke kudumu katika matendo mema. Haya ni mazuri, tena yana faida kwa wana Adamu.


mwe na maongezi mazuri kati ya Mataifa, illi, iwapo huwasingizia kuwa mnatenda mabaya, wayatazamapo matendo yenu mazuri, wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa nae.


Bassi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitafumuliwa, imewapasa ninyi kuwa watu wa tabia gani katika mwenendo mtakatifu na ntawa,


Najua matendo yako na upendo wako na khuduma yako na uaminifu wako na uvumilivu wako na matendo yako; tena matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo