Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 1:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Lakini twajua ya kuwa sharia ni njema, kama mtu akiitumia kwa njia ya kisharia;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Twajua kwamba sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Twajua kwamba sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Twajua kwamba sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 1:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wala msifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufunya upya nia zenu, mpate kujua kwa hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.


Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, nakiri ya kuwa sheria ile ni njema.


Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani ndani ya mwili wangu, halikai neno jema: kwa kuwa kutaka ni katika uwezo wangu, bali kutenda lililo jema sipati.


Kwa maana naifurahia sharia ya Mungu kwa mtu wa ndani,


Bassi, torati haipatani na ahadi za Mungu? Hasha. Kwa kuwa, kama ingalitolewa sharia iwezayo kuhuisha, yakini haki ingalipatikana kwa sharia.


Hatta mtu akishindana hapewi taji asiposhindana kwa halali.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo