Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Timotheo 1:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 wengine wakikosa bayo wamepotea, wakigeukia maneno ya ubatili;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 1:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mwaonaje? mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je, hawaachi wale tissa na tissaini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?


maana wengine wamekwisha kugeuka na kumfuata Shetani.


walioikosa kweli, wakisema ya kwamba kiyama imekwisha kuwapo, nao waipindua imani ya watu wengine.


maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu wa sasa, akasafiri kwenda Thessaloniki; Kreske Galatia, Tito Daimatia.


Maana wako wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo maana, wadanganyaji, khassa wale waliotahiriwa,


Maswali ya upuzi, na vitabu vya nasaba, na magomvi, na mashindano ya sharia, ujiepushe nayo. Kwa kuwa hayana faida, tena hayana maana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo