1 Timotheo 1:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Bali kusudi la mausia hayo ni upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kusudi la maagizo haya ni upendo unaotoka katika moyo safi, dhamiri safi na imani ya kweli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kusudi la maagizo haya ni upendo utokao katika moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli. Tazama sura |