1 Timotheo 1:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19211 PAOLO, mtume wa Yesu Kristo, kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Bwana Yesu Kristo, tumaini letu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Paulo, mtume wa Al-Masihi Isa, kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu, na ya Al-Masihi Isa aliye tumaini letu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Paulo, mtume wa Al-Masihi Isa kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Al-Masihi Isa tumaini letu. Tazama sura |