Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Petro 5:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Salimianeni kwa busu la upendo. Amani na iwe kwenu nyote, katika Kristo Yesu. Amin.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani nyinyi mlio wake Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani nyinyi mlio wake Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani nyinyi mlio wake Kristo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Salimianeni kwa busu la upendo. Amani iwe nanyi nyote mlio katika Al-Masihi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Salimianeni kwa busu la upendo. Amani iwe nanyi nyote mlio katika Al-Masihi.

Tazama sura Nakili




1 Petro 5:14
16 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziyada? Hatta wattoza ushuru, je, nao hawafanyi kama hayo?


Amani nawaachieni; amani yangu nawatolea; si kama ulimwengu utoavyo, mimi nawatolea. Msifadhaike moyo wenu, wala msiwe na woga.


Haya nimewaambieni, mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mtapata shidda: lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.


Ikawa jioni katika siku ile ya kwanza ya sabato, na milango imefungwa walipokuwapo wanafunzi kwa khofu ya Wayahudi, akaja Yesu, akasimama katikati, akawaambia, Amani kwenu.


Baada ya siku nane wanafunzi wake walikuwamo ndani marra ya pili, na Tomaso pamoja nao. Yesu akaja, milango imefungwa, akasimama katikati, akasema, Amani kwenu.


kwa wote walioko Rumi, wapendwao na Mungu, walioitwa kuwa watakatifu: Neema iwe kwenu na imani itokayo kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwaua Yesu Kristo.


Salimianeni kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yawasalimu.


SASA, bassi, hapana hukumu juu yao walio katika Kristo Yesu, wasioenenda kwa kufuata mambo ya mwili bali mambo ya roho.


Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyekuwa kwenu hekima itokayo kwa Mungu na haki na utakatifu na ukombozi;


Ndugu wote wawasalimu. Kasalimianeni kwa busu takatifu.


Salimianeni kwa busu takatifu.


Hatta imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo ni kiumbe kipya, vya kale vimepita; kumbe! vyote vimekuwa vipya.


Amani kwa ndugu, na pendo pamoja na imani, zitokazo kwa Mungu Baba, na kwa Bwana Yesu Kristo.


Wasalimuni ndugu kwa husu takatifu.


kama vile Mungu alivyotangulia kuwajua tangu milele katika utakaso wa Roho, hatta wakapata kutii na kunyunyizwa damu ya Yesu Kristo; Neema na amani ziongezwe kwenu.


Lakini nataraja kukuona karibu na kusema nawe mdomo kwa mdonm.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo