Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Petro 5:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Bibi mteule, mwenzi wenu aliye katika Babeli, awasalimu, na Marko mwanangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Jumuiya ya wenzenu walioteuliwa na Mungu hapa Babuloni wanawasalimuni. Vilevile mwanangu Marko anawasalimuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Jumuiya ya wenzenu walioteuliwa na Mungu hapa Babuloni wanawasalimuni. Vilevile mwanangu Marko anawasalimuni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Jumuiya ya wenzenu walioteuliwa na Mungu hapa Babuloni wanawasalimuni. Vilevile mwanangu Marko anawasalimuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kundi la waumini lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kundi la waumini lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.

Tazama sura Nakili




1 Petro 5:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokuwa akifikiri haya akafika nyumbani kwa Mariamu, mama yake Yohana, ambae jina lake la pili ni Marko; na wafu wengi wamekutana wakiomba.


Na Barnaba na Saul, walipokwisha kuitimiza khuduma yao, wakarejea kutoka Yerusalemi wakamchukua pamoja nao Yohana aitwae Marko.


Barnaba akaazimu kumchukua Yohana aliyekwitwa Marko pamoja nao.


Bassi palitokea maneno makali beina yao hatta wakatengana: Barnaba akamchukua Marko akatweka kwenda Kupro.


Aristarko, aliyefumgwa pamoja nami, awasalimu, na Marko, mjomba wake Barnaba, amhae mmepokea maagizo kwa khabari yake; akifika kwenu mkaribisheni.


na Marko, na Aristarko, na Dema, na Luka, watendao kazi pamoja nami.


MZEE kwa bibi mteule na watoto wake niwapendao katika kweli; wala si mimi peke yangu, bali na ndugu wote waijuao ile kweli;


Wa-toto wa ndugu yako aliye mteule, wakusalimu.


Na katiksi kipaji cha uso wake alikuwa na jina, limeandikwa, SIRI, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAILABA NA MACHUKIZO YA INCHI.


Akalia kwa nguvu, kwa sauti kuu, akisema, Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkuu, umekuwa maskani ya mashetani, na ngome ya killa roho mchafu, na ngome ya killa ndege mchafu mwenye kuchukiza;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo