Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Petro 3:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 wakiutazama mwenendo wenu safi, na wa khofu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 kwani wataona jinsi mwenendo wenu ulivyo safi na wa kumcha Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 kwani wataona jinsi mwenendo wenu ulivyo safi na wa kumcha Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 kwani wataona jinsi mwenendo wenu ulivyo safi na wa kumcha Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 kwa kuuona utakatifu na uchaji wa Mungu katika maisha yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 kwa kuuona utakatifu na uchaji wa Mungu katika maisha yenu.

Tazama sura Nakili




1 Petro 3:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Illakini killa mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; na mke asikose kumstahi mumewe.


Watumwa, watiini walio bwana zenu kwa jinsi ya mwili kana kwamba ni kumtii Kristo, kwa khofu na kutetemeka, kwa unyofu wa moyo,


Lakini mwenendo wenu uwe kama inavyoipasa Injili ya Kristo, illi, nikija na kuwaona ninyi, au nisipokuwapo, niyasikie mambo yenu, kama mnasimama imara katika roho moja, kwa moyo mmoja mkiishindania imani ya Injili;


Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbiuguni; kutoka huko tena tunamtazamia mwokozi Bwana Yesu Kristo;


Ninyi watumwa, watiini wao ambao kwa niwili ni bwana zenu, katika mambo yote, si kwa utumwa wa macho, kama wajipendekezao kwa wana Adamu, bali kwa unyofu wa moyo, mkimeha Mungu.


Mtu asiudharau ujana wako, bali uwe mfano kwao waaminio, katika usemi, na katika mwenendo, na katika upendo, na katika imani, na katika utakatifu.


bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi mwe watakatifu katika mwenendo wenu wote;


mwe na maongezi mazuri kati ya Mataifa, illi, iwapo huwasingizia kuwa mnatenda mabaya, wayatazamapo matendo yenu mazuri, wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa nae.


KADHALIKA ninyi wake, watumikieni waume o zenu; kusudi, ikiwa wako waume wasioliamini Neno, kwa mwenendo wa wake zao, pasipo Neno lile, wavutwe;


Kujipamba kwao, kusiwe kujipamba kwa nje, ndio kusuka nywele, na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;


Bassi, kwa kuwa vitu hivi vyote vitafumuliwa, imewapasa ninyi kuwa watu wa tabia gani katika mwenendo mtakatifu na ntawa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo