Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Petro 3:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 na kwa maisha yake ya kiroho alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 na kwa maisha yake ya kiroho alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 na kwa maisha yake ya kiroho alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Baada ya kufanywa hai, alienda na kuzihubiria roho zilizokuwa kifungoni:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Baada ya kufanywa hai, alikwenda na kuzihubiria roho zilizokuwa kifungoni:

Tazama sura Nakili




1 Petro 3:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Kristo nae aliteswa marra moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio baki, illi atulete kwa Mungu; mwili wake akifishwa, bali roho yake akihuishwa.


akawakhubiri watu wasiotii hapo zamani, uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ndani yake watu wachache, yaani, watu wanane, waliokoka kwa maji.


Maana kwa ajili hiyo na wao waliokufa walikhubiriwa Injili, illi waluikumiwe katika mwili wahukumiwavyo wana Adamu; bali wawe hayi katika roho kwa kumtii Mungu.


Nikaanguka mbele ya miguu yake, nimsujudie, akaniambia, Angalia, usifanye hivi: mimi mjoli wako na mmoja wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudu Mungu: kwa maana ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.


Na ile miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa atoke kifungoni mwake:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo