Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




1 Petro 3:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Na ni nani atakaewadhuru, mkiwa waigaji wa wema?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Ni nani atakayeweza kuwadhuru nyinyi kama mkizingatia kutenda mema?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Ni nani atakayeweza kuwadhuru nyinyi kama mkizingatia kutenda mema?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Ni nani atakayeweza kuwadhuru nyinyi kama mkizingatia kutenda mema?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Basi, ni nani atakayewadhuru mkiwa wenye juhudi katika kutenda mema?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Basi, ni nani atakayewadhuru mkiwa wenye juhudi katika kutenda mema?

Tazama sura Nakili




1 Petro 3:13
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana watawalao hawatii watu khofu kwa ajili ya matendo mema, bali kwa ajili ya matendo mabaya. Bassi, wataka usimwogope mwenye mamlaka?


Na twajua ya kuwa mambo yote hushiriki kazi moja, ndio kuwapatia mema wale wampendao Mungu, yaani wale walioitwa kwa kusudi lake.


UFUATIENI upendo, katakeni sana karama za rohoni, lakini zaidi mpate kukhutubu.


BASSI mwe wafuasi wa Mungu, kama watoto wanaopendwa;


Angalieni mtu awae yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


na kushuhudiwa kwa matendo mema; ikiwa amelea watoto, ikiwa amekaribisha wageni, ikiwa amewaosha watakatifu miguu, ikiwa amewasaidia wateswao, ikiwa amefuata killa tendo jema.


aliyejitoa nafsi yake kwa ajili yetu, illi atuokoe na maasi yote, na kujisafishia watu wawe milki yake, walio na juhudi kwa matendo mema.


Mpenzi, usiuige ubaya, bali wema. Yeye atendae mema ni wa Mungu, bali yeye atendae mabaya hakumwona Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo